• Fursa za Mafanikio

    0

    Mwandishi ametambua namna watu wengi tunatamani kupata fursa lakini zinapokuja hatuchukui hatua kwa kuanza kutafuta ugumu wa fursa hiyo kabla hatujaichukua hatimaye fursa zinatupita. Kitabu hiki kitakufundisha namna ambavyo fursa ndogo zinaweza kukuletea mafanikio makubwa, heshima pamoja na makosa ya kuepuka ili tutwae fursa hizo pamoja na mikakati mbalimbali ya kuzingatia.

    Sh15,000.00
    Add to cart
  • Financial Statements and Competitive Advantage Analysis

    0

    This book evaluates performance of two types of business i.e manufacturing industry business and bank industry. The book provides models on how to write statement on corporate governance, sustainability reporting and risk management strategy with illustrative questions to test readers understanding.

    Sh30,000.00
    Add to cart
  • Biashara Bora

    0

    Zaidi ya asilimia 80 ya biashara mpya hufa kabla ya kutimiza miaka miwili. Hapa utajifunza aina za biashara bora, mambo ya kuzingatia kabla ya kuanzisha biashara, sifa na tabia za biashara bora ili uanzishe, uzalishe, umiliki na uwekeze katika biashara.

    Sh15,000.00
    Add to cart
  • Best Auditing Book

    0

    Auditing questions and answers contain more than 200 examinations styles auditing questions and answers covering 30 topics. Topic and answers covered in this book are like Fundamental accounting principle, financial statement review engagements, audit risk, Fundamental principle on code of ethics for professional accountants by IFA/NBBA etc. This book can be used by any reader who is doing audit courses, examinations or audit work.

    Sh75,000.00
    Add to cart
  • Auditing, Governance and Financial Analysis

    0

    The topic covered in this book include; International Standards on Auditing (ISA), International Auditing Practice Statements ( IAPS); The background, evolution of auditing, fundamental accounting and auditing principles,fundamental issues in governance, financial reporting and corporate governance, how to analyze business and interpret financial statements etc.

    Sh35,000.00
    Add to cart
  • Advanced Auditing for CPA & Degree

    0

    This book is suitable for academic and professional students, tutors and practitioners of Business studies Aspiring for association of ACCA, CPA, CSPS, B.Com, MBA, MSc, specializing in accounting, finance, taxation and auditing. The topic covered include evolution of Auditing, Planing and control, Audit evidence, Financial Institution (bank) audit, Fundamental issues in governance etc.

    Sh55,000.00
    Add to cart
  • 5 Love Languages

    0

    The secret to love that lasts

    Sh28,000.00
    Add to cart
  • Sell Or Die

    0

    Sell or die Concept is built on the winning attitude of a salesperson to be able to sell and convince others to transact with them so that their business may thrive in the market. The book aims at igniting your mind and fuel your energy to push forward without giving up and cause outcomes to happen without any excuses. The book contains a number of intriguing examples of some entrepreneurs who are successfully operating and growing their businesses. it will help you gain an insight and practical wisdom to help you start and grow your business even in the midst of chaotic situations.

    Sh25,000.00
    Add to cart
  • Ongeza Kipato Chako

    0

    Kama unatamani kuongeza kipato chako kwa sasa na kuwa na uhakika wa kuendelea kuwa na kipato kinachojitosheleza hadi pale utakapozeeka na uache urithi mzuri kwa kizazi chako kinachofuata, kitabu hiki kitakufaa sana kwa sababu utapata ufahamu sahihi juu ya fedha, uwekezaji na biashara na katika namna unayoweza kufanyia kazi kuanzia leo. Utajifunza jinsi ya kupanga bajeti yako ili upate ziada ya akiba na uwekezaji, pia kutengeneza mkakati wa muda mrefu wa kupata uhuru wa kifedha.

    Sh15,000.00
    Add to cart
  • Timiza Malengo Yako

    1

    Je una malengo ya kufanikiwa katika maisha yako? Kitabu hiki kinatoa mbinu ambazo wengi wamezitumia na wanaendelea kuzitumia duniani kote ili kufikia malengo waliyojiwekea katika maisha yao. Ukweli ni kuwa watu hawashindwi kutimiza malengo yao kwa sababu hawana uwezo na shauku ya kufanya hivyo, bali kwa sababu wameshindwa kujua wafanye nini ili kutimiza malengo waliyonayo katika maisha yao. Katika kitabu hiki utajifunza mambo kadhaa ikiwemo namna ya kuweka malengo yanayofanikiwa. kujua kusudi lililofanya uzaliwe. Mbinu za kuifanya ndoto yako kuwa uhalisia

    Sh20,000.00
    Add to cart
  • Saikolojia ya Mteja

    0

    Katika Biashara yoyote ambayo mtu anaifanya awe anatoa huduma au anauza bidhaa, moja ya uwezo mkubwa sana anatakiwa kuwa nao ni uwezo wa kuhudumia wateja. Na hii imekua ni changamoto kwa watu wengi. Kitabu hiki kimeandaliwa maalumu kwa ajili ya kukupatia maarifa sahihi juu ya saikolojia ya mteja na utajifunza mambo mengi yatakayobadilisha ufahamu wako juu ya mteja.

    Sh15,000.00
    Add to cart
  • Pivoting in Heels

    0

    Stories of the brave women leaders who faced the pandemic head-on and still managed to keep businesses afloat, who inspired others to keep going, who lay hold of new business opportunities, who crafted a new way of being and thinking while offering support to their communities.

    Sh100,000.00
    Add to cart
  • Hazina ya Penzi

    0

    Kuna watu ambao huamini hakuna mapenzi ya kweli duniani, na kuna wanaokubali mapenzi ya kweli yapo. Na hawa wotewanaongea kutoka katika maisha ambayo wameishi, mazingira wakiyokulia, mambo waliyoshuhudia, waliyosoma na pengine waliyofanyiwa. Pamoja na yote hayo bado haiondoi ukweli kwamba mapenzi imekuwa mada na swala linaongelewa sana Ulimwenguni kote. Watu wameua kwa sababu ya mapenzi, watu wameumwa, wamejeruhi, wamejenga uadui kwa sababu ya jambo hili mapenzi.

    Sh15,000.00
    Add to cart
  • Outliers

    0

    Outliers is a book all about individuals who do things that go beyond the realm of the ordinary. From programmers to business tycoons, geniuses to rock stars, Malcolm Gladwell uncovers the secrets that separate the best from the rest.

    Sh36,000.00
    Add to cart