• Tribe of Mentors

    0
    Sh45,000.00
    Add to cart
  • Start With Why

    0
    Sh35,000.00
    Add to cart
  • This Essentialism

    0
    Read more
  • Black and White Thinking

    0

    Black and White Thinking (2020) examines the human brain’s irresistible impulse to sort things into binary categories: black and white, good and evil, right and wrong.

    Sh49,000.00
    Add to cart
  • Vipande 26 Vya Keki

    0

    Zipo kanuni tu ambazo endapo zitafuatwa zinaweza kumuongoza na zisipofuatwa zinaweza kumuangusha binadamu katika maisha yake ya kila siku na cha ajabu zaidi kwenye hayo maisha, unaweza kufuata kanuni na ukakosa kufaulu na ukaacha kufuata kanuni na bado ukaweza kufaulu.

    Sh25,000.00
    Add to cart
  • Strategic Management, governance and Ethics

    0

    The topic covered in this book include strategic management, strategic position, strategic choices, strategic implementation etc. The book covers strategic capability and development, value chain and network, marketing and marketing strategic plan, international business strategies.

    Sh35,000.00
    Add to cart
  • Siri ya Kuwaza na Kupanga Kimkakati

    0

    Kitabu kinaeleza uhusiano wa mawazo na mafanikio. Umuhimu wa kuandika mpango badala ya kuwa nao kichwani, uhusiano wa mawazo na matokeo, shauku, uchu na hamu ya kupanga na kutimiza malengo na ndoto pamoja na sababu 5 za umaskini.

    Sh15,000.00
    Add to cart
  • Purposeful Parenting and Poorly Invested Sons

    0

    The ongoing campaigns for a girl child empowerment might set back the need for a boy child to be prepared and sharpened to face life. Equally, parents may be carried out with this song of the girl’s power and forget about the boy’s power. In this book here comes a well prepared, shaped, and packaged girls to face the masculine world of unprepared poor boys. This book is full of insights to enlighten parents on quality and balanced parenting in this modern era. Peruse this compelling book and use the gems to add value to your Child(both boys and girls) for a greener adulthood life.

    Sh25,000.00
    Add to cart
  • Money Management

    0

    When you read the book you will learn the habit of savings and the concept of investing. You will learn the difference between saving and investing, goals, how to budget and how to group the expenses of your money in five groups. Also you will learn challenges in matters of investing savings but also you will learn relationship between expenditure and savings, debts and loans.

    Sh15,000.00
    Add to cart
  • Kustaafu

    0

    Kustaafu ni lazima, hivyo ni vizuri kujiandaa. Kupitia kitabu hiki cha kustaafu kuna aina 12 za mazingira bora yanayoleta tija kabla ya kustaaafu, kazi 5 za kufanya baada ya kustaafu, maeneo ya kujianda kabla ya kustaafu, mikakati 7 ya kuishi maisha marefu baada ya kustaafu, mambo 7 ya kuzingatia kabla hujatumia pensheni n.k

    Sh35,000.00
    Add to cart
  • Kuongeza Thamani

    0

    Kanuni/siri kubwa ya watu au biashara zilizofanikiwa kwa viwango vya juu ni kuongeza thamani. Kama unataka kuongeza utajiri utakaodumu ni kuongeza thamani ya kile unachofanya. Kitabu hiki kitakufundisha namna ya mbinu utakazoweza kutumia katika kuongeza thamani ya bidhaa, huduma, na maisha ya watu kwa ujumla.

    Sh15,000.00
    Add to cart
  • Hisa Akiba na Uwekezaji

    0

    Hisa ni mali fedha. Ndani ya kitabu hiki utapata kujua kwa undani hisa ni nini, faida zake, faida za hisa, changamoto na soko lake. Pia utajifunza mambo ya kuzingatia kabla ya kununua hisa kama vile utaratibu wa kununua na kuuza hisa.

    Sh35,000.00
    Add to cart
  • Hekima Maarifa na Ufahamu

    0

    Hekima, maarifa na ufahamu huondoa umaskini, ujinga, migogoro, hasara n.k. Kitabu kinaeleza tofauti kati ya hekima, maarifa na ufahamu, sifa zake, mikakati ya kupata na kuongeza hekima, maarifa na ufahamu ili ufanikiwe kifedha, kiuchimi, kisisasa kijamii, uongozi na huduma.

    Sh15,000.00
    Add to cart
  • Hatifungani

    0

    Katika kitabu cha Hatifungani na dhamana ya serikali utajifunza nini maana ya hatifungani, na aina zake. Pia utajifunza vigezo unavyotakiwa kuzingatia kabla ya kununua hatifungani, utaratibu wa kuuza na kununua hatifungani, changamoto n.k. Pia utajifunza jinsi ya kusajili benki kuu ili kushiriki katika dhamana za serikali na hatifungani za serikali kuu pamoja na mchango wa hatifungani katika maendeleo ya nchi.

    Sh45,000.00
    Add to cart