-
Kuongeza Thamani
0Kanuni/siri kubwa ya watu au biashara zilizofanikiwa kwa viwango vya juu ni kuongeza thamani. Kama unataka kuongeza utajiri utakaodumu ni kuongeza thamani ya kile unachofanya. Kitabu hiki kitakufundisha namna ya mbinu utakazoweza kutumia katika kuongeza thamani ya bidhaa, huduma, na maisha ya watu kwa ujumla.
-
Hisa Akiba na Uwekezaji
0Hisa ni mali fedha. Ndani ya kitabu hiki utapata kujua kwa undani hisa ni nini, faida zake, faida za hisa, changamoto na soko lake. Pia utajifunza mambo ya kuzingatia kabla ya kununua hisa kama vile utaratibu wa kununua na kuuza hisa.