Availability: In Stock

Timiza Malengo Yako

1

Sh20,000.00

Je una malengo ya kufanikiwa katika maisha yako? Kitabu hiki kinatoa mbinu ambazo wengi wamezitumia na wanaendelea kuzitumia duniani kote ili kufikia malengo waliyojiwekea katika maisha yao. Ukweli ni kuwa watu hawashindwi kutimiza malengo yao kwa sababu hawana uwezo na shauku ya kufanya hivyo, bali kwa sababu wameshindwa kujua wafanye nini ili kutimiza malengo waliyonayo katika maisha yao. Katika kitabu hiki utajifunza mambo kadhaa ikiwemo namna ya kuweka malengo yanayofanikiwa. kujua kusudi lililofanya uzaliwe. Mbinu za kuifanya ndoto yako kuwa uhalisia

Category:

Description

Additional information

book-author

1 review for Timiza Malengo Yako

  1. kelvin kilevo

    this a a very good book. every one should read it

Add a review

Your email address will not be published. Required fields are marked *