Availability: In Stock

Ngongoti Shujaa wa Taifa

Author: Msafiri Lwihula

Sh30,000.00

Wengi tumekua tukiangalia filamu na kusoma hadithi za Spiderman, Superman, na Batman, ni wakati umefika sasa watoto wa Tanzania na Afrika wawe na mashujaa wao. Mashujaa wanaoweza kusambaza mila na maadili tajiri ya Kiafrika huku kukiwa na wimbi kubwa la utandawazi, ambalo linahatarisha kuharibu utambulisho wetu wa kitamaduni. Hiyo ndiyo kusudi halisi la BETA KIDS, BETA KOMICS, na BETA PANTHA Tunapoitambulisha kwenu tamthilia/kitabu cha NGONGOTI SHUJAA/NGONGOTI THE SUPERHERO, mfululizo wa vitabu vya mashujaa wa kwanza kutoka Tanzania. Pata nakala leo na ulete furaha kwa watoto wako na hata watu wazima pia.

Ngongongoti yuko hapa kuwaongoza watoto wako katika:

1. Kujenga kujiamini
2. Kuelewa aina mbalimbali za unyanyasaji
3. Kuhimiza ubunifu na uvumbuzi
4. Kuthamini utamaduni wa Mtanzania
5. Kuunganishwa na mazingira ya Tanzania
6. Kukuza ujuzi wa uongozi
7. Kuheshimu wazazi, wazee, na walimu
8. Kuthamini kazi
9. Kupata stadi za maisha
10. Uhifadhi wa mazingira

Description

Additional information

book-author

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Ngongoti Shujaa wa Taifa”

Your email address will not be published. Required fields are marked *